Simu: 0793 581 811 / 0793 211 694 | Email: masesemicrofinanceltd@gmail.com
Fomu hii ya maombi ya mkopo imewasilishwa leo tarehe 17 mwezi September mwaka 2026
Kwa kuweka Sahihi yangu kwenye Fomu hii ya Maombi ya Mkopo ninathibitisha kwamba nimesoma na kuelewa vigezo na masharti ya Mkopo na ninakubali bila masharti yoyote.
Ninakubali kuilipa MASESE MICROFINANCE LIMITED gharama zote zinazohusuiana na ukusanyaji wa deni langu, gharama za kisheria kwa hatua yoyote itakayochukuliwa dhidi yangu.
Malipo yote ya mkopo na riba yatafanyika moja kwa moja kwenye ofisi ya MASESE MICROFINANCE LIMITED au kwa njia ya Account ya Benki, M-PESA / AIRTEL MONEY / AZAM PESA.
MASESE MICROFINANCE LIMITED inaweza ikakuhitaji uweze kuwa na Bima ya Mali na/au Bima ya Maisha wakati wote wa mkopo.
Mimi , nikiwa na akili timamu ninathibitisha kwamba taarifa niliyoitoa katika fomu hii ya mkopo ni ya kweli, kweli tupu. Ninaruhusu MASESE MICROFINANCE LIMITED iweze kupata taarifa nyingine yoyote inayohusu ajira/biashara yangu.
Sahihi ya Mkopaji DOLE GUMBA
Tarehe: _____ / _____ / 20_____
| # | Jina Kamili la Mdhamini | Namba ya NIDA | Simu | Kazi | Anwani | Sahihi |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 1 | ||||||
| 2 | ||||||
| 3 |
Mimi, ambae ni mwajiriwa/mteja katika: mwenye Account Na. ninakuruhusu kulipa moja kwa moja kiasi cha TZS ya mshahara wangu kwa MASESE MICROFINANCE LIMITED.
Sahihi ya Mkopaji
Tarehe: _____ / _____ / 20_____
Kipato kwa Mwezi: TZS ______________